Alizungumza leo Alhamisi Oktoba 17, 2019, Mkurugenzi Mtendaji wa bodi hiyo, Abdul-Razaq Badru amesema jumla ya Sh113 bilioni zimetengwa kwa ajili ya wanafunzi hao na fedha ambazo Serikali imeshaikabidhi bodi hiyo ni Sh125 bilioni.
Amesema kati ya orodha hiyo wanafunzi wa kike ni 11,043 sawa na asilimia 36 na wakiume ni 19,632 sawa na silimia 64.
Bofya hapa kutazama >>>
link no.2 : Bofya hapa kutazama>>>
Hata hivyo, amesema orodha ya awamu ya pili itatangazwa Oktoba 25,2019 baada ya kukamilisha uchambuzi wa maombi ya mikopo kutoka kwa wanafunzi waliochelewa kukamilisha taratibu za udahili na kurekebisha maombi yao ya mkopo mtandaoni.
Amesema fedha za wanafunzi ambao wamefanikiwa kupata mkopo zitatumwa vyuoni mapema kabla havijafunguliwa.
No comments:
Post a Comment