Habari njema kwa wanafunzi waliokua wakisubiri majina ya awamu ya tatu ili kujua hatima yao ya mkopo wa elimu ya juu unaotolewa na HESLB.
Jinsi ya kupata kujua kama umepata mkopo au la!
- Ingia OLAMS (https://olas.heslb.go.tz/index.php/olas/olas/index)
- Ingia kwenye account yako, kwa kubofya maandishi '
- Jaza taarifa zako (form four index no. na password)
- kisha login na utaona majibu ya mkopo wako.

No comments:
Post a Comment